Kutoka 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Na haya ndiyo mavazi watakayoyafanya: kifuko cha kifuani,+ na efodi+ na koti lisilo na mikono+ na kanzu yenye mirabamiraba, kilemba+ na ukumbuu;+ nao watafanya mavazi matakatifu kwa ajili ya Haruni ndugu yako na wanawe, ili awe kuhani kwangu. Kutoka 28:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Nawe utafuma kanzu ya kitani bora yenye mirabamiraba na kufanya kilemba cha kitani bora,+ nawe utafanya ukumbuu,+ kazi ya mfumaji. Isaya 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na uadilifu utakuwa mshipi wa viuno vyake,+ na uaminifu mshipi wa viuno vyake.+
4 “Na haya ndiyo mavazi watakayoyafanya: kifuko cha kifuani,+ na efodi+ na koti lisilo na mikono+ na kanzu yenye mirabamiraba, kilemba+ na ukumbuu;+ nao watafanya mavazi matakatifu kwa ajili ya Haruni ndugu yako na wanawe, ili awe kuhani kwangu.
39 “Nawe utafuma kanzu ya kitani bora yenye mirabamiraba na kufanya kilemba cha kitani bora,+ nawe utafanya ukumbuu,+ kazi ya mfumaji.