Waefeso 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, simameni imara, viuno vyenu+ vikiwa vimefungwa kwa ile kweli,+ na mkiwa mmevaa bamba la kifuani la uadilifu,+ Ufunuo 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na katikati ya vinara hivyo vya taa palikuwa na mtu kama mwana wa binadamu,+ aliyevikwa vazi lililofika chini miguuni, na aliyefungwa kifuani mshipi wa dhahabu.
14 Kwa hiyo, simameni imara, viuno vyenu+ vikiwa vimefungwa kwa ile kweli,+ na mkiwa mmevaa bamba la kifuani la uadilifu,+
13 na katikati ya vinara hivyo vya taa palikuwa na mtu kama mwana wa binadamu,+ aliyevikwa vazi lililofika chini miguuni, na aliyefungwa kifuani mshipi wa dhahabu.