6 “Nao watafanya efodi ya dhahabu, uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mtarizi.+
2 Basi akaifanya ile efodi+ ya dhahabu, uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa.