6 “Nao watafanya efodi ya dhahabu, uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mtarizi.+
7 Baada ya hayo akamvika kanzu+ na kumfunga ukumbuu+ na kumvika lile koti lisilo na mikono+ na kumvika efodi+ na kumfunga kwa mshipi+ wa ile efodi na kuufunga imara kwa mshipi huo.