Kutoka 28:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Nawe utalifanya koti lote lisilo na mikono la efodi kwa uzi wa bluu.+ Kutoka 39:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha akafanya lile koti lisilo na mikono+ la efodi, ufundi wa mfumaji, lote la uzi wa bluu. Hesabu 15:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+ Zaburi 119:129 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 129 Vikumbusho vyako ni vizuri ajabu.+Ndiyo sababu nafsi yangu imevishika.+
39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+