Kutoka 39:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha akafanya lile koti lisilo na mikono+ la efodi, ufundi wa mfumaji, lote la uzi wa bluu. Mambo ya Walawi 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Baada ya hayo akamvika kanzu+ na kumfunga ukumbuu+ na kumvika lile koti lisilo na mikono+ na kumvika efodi+ na kumfunga kwa mshipi+ wa ile efodi na kuufunga imara kwa mshipi huo.
7 Baada ya hayo akamvika kanzu+ na kumfunga ukumbuu+ na kumvika lile koti lisilo na mikono+ na kumvika efodi+ na kumfunga kwa mshipi+ wa ile efodi na kuufunga imara kwa mshipi huo.