1 Samweli 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, ambaye jina lake lilikuwa Abiathari,+ akaponyoka, akakimbia amfuate Daudi. 1 Wafalme 2:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ndipo mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada mahali pake juu ya jeshi;+ na mfalme akamweka Sadoki kuwa kuhani mahali pa Abiathari.+
20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, ambaye jina lake lilikuwa Abiathari,+ akaponyoka, akakimbia amfuate Daudi.
35 Ndipo mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada mahali pake juu ya jeshi;+ na mfalme akamweka Sadoki kuwa kuhani mahali pa Abiathari.+