6 Kisha Shemaya mwana wa Nethaneli mwandishi wa Walawi akaandika majina yao mbele ya mfalme, wakuu, kuhani Sadoki,+ Ahimeleki+ mwana wa Abiathari,+ na viongozi wa koo za makuhani na za Walawi, ukoo mmoja ulichaguliwa kutoka kwa Eleazari na ukoo mmoja ulichaguliwa kutoka kwa Ithamari.