1 Wafalme 8:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati huo Sulemani aliwakusanya+ wazee wa Israeliāviongozi wote wa makabila, wakuu wa koo* za Israeli.+ Wakaja kwa Mfalme Sulemani huko Yerusalemu ili kuliondoa sanduku la agano la Yehova katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+
8 Wakati huo Sulemani aliwakusanya+ wazee wa Israeliāviongozi wote wa makabila, wakuu wa koo* za Israeli.+ Wakaja kwa Mfalme Sulemani huko Yerusalemu ili kuliondoa sanduku la agano la Yehova katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+