Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo akasema na kusanyiko, na kuwaambia: “Geukeni kando, tafadhali, kutoka mbele ya mahema ya watu hawa waovu wala msiguse chochote kilicho chao,+ msije mkafagiliwa mbali katika dhambi yao yote.”

  • 1 Samweli 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wakati huohuo, Sauli akawaambia Wakeni:+ “Nendeni, ondokeni,+ shukeni kutoka katikati ya Waamaleki, nisije nikawafagilia mbali ninyi pamoja nao. Ninyi mliwatendea fadhili zenye upendo wana wote wa Israeli+ walipokuwa wakipanda kutoka Misri.”+ Basi hao Wakeni wakaondoka katikati ya Amaleki.

  • Yeremia 51:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Kimbieni kutoka katikati ya Babiloni,+ na kila mmoja wenu aiponye nafsi yake mwenyewe.+ Msifanywe kuwa wasio na uhai kupitia kosa lake.+ Kwa maana ni wakati wa kisasi cha Yehova.+ Kuna tendo ambalo anamlipa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki