27 Na ikawa kwamba mara tu Ahabu alipoyasikia maneno hayo, akayararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia+ mwilini mwake; naye akaanza kufunga, akaendelea kulala katika nguo za magunia, akatembea kwa huzuni.+
4Basi Mordekai+ akapata kujua mambo yote yaliyokuwa yamefanywa;+ ndipo Mordekai akararua mavazi yake na kuvaa nguo za magunia+ na majivu,+ akaenda katikati ya jiji, akalia kwa sauti kubwa na yenye uchungu.+