31 Kwa hiyo watumishi wake wakamwambia: “Tazama, tumesikia kwamba wafalme wa nyumba ya Israeli ni wafalme wenye rehema. Tafadhali, turuhusu tuvae nguo za magunia viunoni na kufunga kamba vichwani kisha twende kwa mfalme wa Israeli. Huenda akakuacha hai.”+