Zaburi 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wokovu ni wa Yehova.+Baraka yako iko juu ya watu wako.+ Sela. Zaburi 37:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nao wokovu wa watu waadilifu ni kutoka kwa Yehova;+Yeye ni ngome yao wakati wa taabu.+ Zaburi 68:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na abarikiwe Yehova, ambaye hutubebea mzigo wetu kila siku,+Mungu wa kweli wa wokovu wetu.+ Sela. Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+