Isaya 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Tazama, ninawaamsha Wamedi+ juu yao, ambao hawaioni fedha kuwa kitu na ambao, kwa habari ya dhahabu, hawapendezwi nayo. Yeremia 25:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 na wafalme wote wa Zimri na wafalme wote wa Elamu+ na wafalme wote wa Wamedi;+ Danieli 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 naye Dario+ Mmedi akaupokea ufalme, akiwa na umri wa kama miaka 62.
17 “Tazama, ninawaamsha Wamedi+ juu yao, ambao hawaioni fedha kuwa kitu na ambao, kwa habari ya dhahabu, hawapendezwi nayo.