Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuna maono magumu+ ambayo nimeambiwa: Mwenye kutenda kwa hila anatenda kwa hila, na mporaji anapora.+ Nenda juu, Ee Elamu! Zingira, Ee Umedi!+ Nimekomesha kuugua kote kunakosababishwa naye.+

  • Yeremia 51:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 “Na mbingu na dunia na vyote vilivyomo hakika vitapiga vigelegele vya shangwe juu ya Babiloni,+ kwa maana waporaji watakuja kwake kutoka kaskazini,”+ asema Yehova.

  • Danieli 5:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “PERESI, ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki