Yeremia 50:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana taifa limekuja juu yake kutoka kaskazini.+ Hilo ndilo linaloifanya nchi yake kuwa kitu cha kushangaza, hivi kwamba hakuna yeyote anayekaa ndani yake.+ Mwanadamu na pia mnyama wa kufugwa wamekimbia.+ Wameenda zao.”+ Yeremia 50:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 “Tazama! Kikundi cha watu kinaingia kutoka kaskazini; na taifa kubwa+ na wafalme wakuu+ wataamshwa kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+
3 Kwa maana taifa limekuja juu yake kutoka kaskazini.+ Hilo ndilo linaloifanya nchi yake kuwa kitu cha kushangaza, hivi kwamba hakuna yeyote anayekaa ndani yake.+ Mwanadamu na pia mnyama wa kufugwa wamekimbia.+ Wameenda zao.”+
41 “Tazama! Kikundi cha watu kinaingia kutoka kaskazini; na taifa kubwa+ na wafalme wakuu+ wataamshwa kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+