14 Kwa maana hata wao wenyewe, mataifa mengi na wafalme wakubwa,+ wamewatumia vibaya kama watumishi;+ nami nitawalipa kulingana na matendo yao na kulingana na kazi ya mikono yao.’”+
27 “Inueni ishara katika nchi.+ Pigeni baragumu kati ya mataifa. Takaseni+ mataifa juu yake. Iteni falme za Ararati,+ Mini na Ashkenazi+ zije juu yake. Wekeni juu yake ofisa mwandikishaji. Pandisheni+ farasi kama nzige waliojaa miiba.