Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 137:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee binti Babiloni, ambaye utaporwa,+

      Atakuwa ni mwenye furaha yeye atakayekupa thawabu+

      Ya matendo yako mwenyewe ambayo ulitutendea.+

  • Yeremia 50:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Iteni wapiga-mishale juu ya Babiloni, wote wanaokanyaga upinde.+ Pigeni kambi juu yake pande zote. Wenye kuponyoka na wasiwepo.+ Mlipeni yeye kulingana na matendo yake.+ Kulingana na yote ambayo ametenda, mtendeeni vivyo hivyo.+ Kwa maana yeye ametenda kwa kimbelembele juu ya Yehova, juu ya Mtakatifu wa Israeli.+

  • Yeremia 51:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Kimbieni kutoka katikati ya Babiloni,+ na kila mmoja wenu aiponye nafsi yake mwenyewe.+ Msifanywe kuwa wasio na uhai kupitia kosa lake.+ Kwa maana ni wakati wa kisasi cha Yehova.+ Kuna tendo ambalo anamlipa.+

  • Yeremia 51:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa Ukaldayo ubaya wao wote ambao wametenda katika Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.

  • Ufunuo 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mlipeni sawa na vile yeye mwenyewe alivyolipa,+ na mtendeeni mara mbili ya hivyo, ndiyo, mara mbili ya hesabu ya mambo aliyoyatenda;+ katika kikombe+ ambacho ndani yake alitia mchanganyiko mtilieni+ mchanganyiko mara mbili+ ya hivyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki