Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na vikundi vya watu kwa kweli vitawachukua na kuwaleta mahali pao wenyewe, na nyumba ya Israeli watajichukulia hao wawe urithi juu ya udongo wa Yehova wakiwa watumishi wanaume na wakiwa wajakazi;+ nao watawateka+ wale wanaowashika mateka, nao watawatiisha wale waliokuwa wakiwalazimisha kwenda kazini.+

  • Yeremia 50:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 “Tazama! Kikundi cha watu kinaingia kutoka kaskazini; na taifa kubwa+ na wafalme wakuu+ wataamshwa kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+

  • Yeremia 51:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Babiloni amekuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yehova,+ yeye anailewesha dunia yote.+ Mataifa yamekunywa kutokana na divai yake.+ Ndiyo sababu mataifa yanaendelea kutenda kiwazimu.+

  • Habakuki 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa sababu wewe mwenyewe uliyapora mataifa mengi, mabaki yote ya vikundi vya watu watakupora,+ kwa sababu ya kumwaga damu ya wanadamu na kwa sababu ya dunia kufanyiwa jeuri, mji na wale wote wanaokaa ndani yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki