Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Na katika mwaka wa kwanza wa Koreshi+ mfalme wa Uajemi, ili neno la Yehova kwa kinywa cha Yeremia+ litimizwe, Yehova aliiamsha+ roho ya Koreshi mfalme wa Uajemi, hivi kwamba akatangaza mwito+ katika utawala wake wote, na pia kwa maandishi,+ akisema:

  • Isaya 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuna maono magumu+ ambayo nimeambiwa: Mwenye kutenda kwa hila anatenda kwa hila, na mporaji anapora.+ Nenda juu, Ee Elamu! Zingira, Ee Umedi!+ Nimekomesha kuugua kote kunakosababishwa naye.+

  • Isaya 45:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Yehova amemwambia hivi mtiwa-mafuta wake,+ Koreshi, ambaye mkono wake wa kuume nimeushika,+ ili kuyatiisha mataifa mbele yake,+ hivi kwamba nivifungue viuno vya wafalme; nifungue mbele yake milango yenye pande mbili, hivi kwamba hata malango hayatafungwa:

  • Yeremia 50:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana tazama, ninaamsha na kuleta juu ya Babiloni kutaniko la mataifa makubwa kutoka katika nchi ya kaskazini,+ na hakika wao watajipanga juu yake.+ Kutoka hapo atatekwa.+ Mishale ya mtu ni kama ya mwanamume mwenye nguvu ambaye harudi bila matokeo, akisababisha kufiwa na watoto.+

  • Danieli 6:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi Danieli huyo akafanikiwa katika ufalme wa Dario+ na katika ufalme wa Koreshi Mwajemi.+

  • Danieli 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Katika mwaka wa kwanza wa Dario mwana wa Ahasuero+ wa uzao wa Wamedi,+ aliyekuwa amefanywa kuwa mfalme juu ya ufalme wa Wakaldayo;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki