Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na katika mwaka wa kwanza wa Koreshi+ mfalme wa Uajemi,+ ili neno la Yehova+ kupitia kinywa cha Yeremia+ litimizwe, Yehova aliiamsha roho+ ya Koreshi mfalme wa Uajemi, hivi kwamba akatangaza mwito katika ufalme wake wote, na pia kwa maandishi,+ akisema:

  • Isaya 45:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Yehova amemwambia hivi mtiwa-mafuta wake,+ Koreshi, ambaye mkono wake wa kuume nimeushika,+ ili kuyatiisha mataifa mbele yake,+ hivi kwamba nivifungue viuno vya wafalme; nifungue mbele yake milango yenye pande mbili, hivi kwamba hata malango hayatafungwa:

  • Danieli 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Katika mwaka wa tatu wa Koreshi+ mfalme wa Uajemi kuna jambo alilofunuliwa Danieli, ambaye jina lake aliitwa Belteshaza;+ na jambo hilo lilikuwa kweli, na kulikuwa na utumishi mkubwa wa kijeshi.+ Naye akaelewa jambo lile, naye akaelewa jambo lililoonwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki