10 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Koreshi+ mfalme wa Uajemi, Danieli ambaye pia aliitwa Belteshaza+ alipewa ufunuo; na ujumbe wake ulikuwa wa kweli, nao ulihusu pambano kubwa. Naye alielewa ujumbe huo na kupewa uelewaji kuhusu mambo aliyokuwa ameona.