7 Na ofisa mkuu wa makao ya mfalme akawapa majina;* alimpa Danieli jina Belteshaza,+ akampa Hanania jina Shadraki, akampa Mishaeli jina Meshaki, na kumpa Azaria jina Abednego.+
8 Mwishowe Danieli akaja mbele yangu, anayeitwa pia Belteshaza,+ jina la mungu wangu,+ na ambaye ana roho ya miungu mitakatifu,+ nami nikamwambia ndoto hiyo: