Isaya 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na pinde zao zitawavunja vipande-vipande hata vijana.+ Nao hawatauhurumia uzao wa tumbo;+ macho yao hayatawasikitikia wana. Yeremia 51:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Isugueni mishale.+ Jazeni ngao za mviringo. Yehova ameiamsha roho ya wafalme wa Wamedi,+ kwa sababu wazo lake liko juu ya Babiloni,+ ili kumharibu. Kwa maana hicho ni kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+
18 Na pinde zao zitawavunja vipande-vipande hata vijana.+ Nao hawatauhurumia uzao wa tumbo;+ macho yao hayatawasikitikia wana.
11 “Isugueni mishale.+ Jazeni ngao za mviringo. Yehova ameiamsha roho ya wafalme wa Wamedi,+ kwa sababu wazo lake liko juu ya Babiloni,+ ili kumharibu. Kwa maana hicho ni kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+