Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana wamekimbia kwa sababu ya panga, kwa sababu ya upanga uliochomolewa, na kwa sababu ya upinde uliopindwa na kwa sababu ya ukali wa vita.

  • Yeremia 50:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Jipangeni juu ya Babiloni kila upande,+ ninyi nyote mnaokanyaga upinde.+ Mpigeni mishale.+ Msiuache mshale wowote, kwa maana yeye amemtendea dhambi Yehova.+

  • Yeremia 50:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Wanashika upinde na mkuki.+ Ni wakali nao hawataonyesha rehema yoyote.+ Sauti yao ni kama bahari ambayo imechafuka,+ nao watapanda juu ya farasi;+ wamejipanga kama mtu mmoja kwa ajili ya kupigana vita nawe, Ee binti ya Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki