Isaya 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nao siku hiyo watanguruma juu yake na mngurumo kama wa bahari.+ Na mtu kwa kweli ataiangalia nchi, na, tazama! kuna giza lenye kutaabisha;+ na hata nuru imetiwa giza kwa sababu ya matone yanayoanguka juu yake. Yeremia 51:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Bahari imekuja juu ya Babiloni. Amefunikwa kwa wingi wa mawimbi yake.+
30 Nao siku hiyo watanguruma juu yake na mngurumo kama wa bahari.+ Na mtu kwa kweli ataiangalia nchi, na, tazama! kuna giza lenye kutaabisha;+ na hata nuru imetiwa giza kwa sababu ya matone yanayoanguka juu yake.