Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kamba za kifo zilinizunguka;+

      Mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu pia yaliendelea kuniogopesha.+

  • Isaya 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 na kusonga mbele kupitia Yuda. Kwa kweli yeye atafurika na kuvuka.+ Atafika mpaka shingoni.+ Na kunyooshwa kwa mabawa+ yake kutatokea ili kuujaza upana wa nchi yako, Ee Imanueli!”+

  • Ezekieli 27:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “ ‘ “Wale wanaokupigia makasia wamekuleta katika maji makuu.+ Upepo wa mashariki umekuvunja katika moyo wa bahari kuu.+

  • Danieli 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Na baada ya yale majuma 62 Masihi atakatiliwa mbali,+ bila kuwa na chochote kwa ajili yake.+

      “Na watu wa kiongozi anayekuja wataharibu+ jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki