Ezra 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi+ wa Uajemi, ili neno la Yehova lililosemwa na Yeremia+ litimie, Yehova aliichochea roho ya Mfalme Koreshi wa Uajemi atoe tangazo katika ufalme wake wote, ambalo pia aliliandika,+ akisema: Ezra Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:1 w08 12/15 22 Ezra Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:1 Mnara wa Mlinzi,12/15/2008, uku. 229/1/1987, uku. 271/15/1986, uku. 7
1 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi+ wa Uajemi, ili neno la Yehova lililosemwa na Yeremia+ litimie, Yehova aliichochea roho ya Mfalme Koreshi wa Uajemi atoe tangazo katika ufalme wake wote, ambalo pia aliliandika,+ akisema: