19 “Ndipo nikatamani kuhakikisha kuhusu yule mnyama wa nne, ambaye alikuwa tofauti na wale wengine wote, mwenye kuogopesha isivyo kawaida, mwenye meno ya chuma na makucha ya shaba, aliyekuwa akirarua na kuvunja, na ambaye alikuwa akikanyaga mabaki kwa miguu yake;+