Danieli 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nilipoinua macho yangu, tazama! kulikuwa na kondoo dume+ aliyesimama mbele ya mfereji huo wa maji, naye alikuwa na pembe mbili.+ Pembe hizo mbili zilikuwa ndefu, lakini moja ilikuwa ndefu kuliko nyingine, na pembe hiyo ndefu ilitokea baadaye.+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:3 dp 166-167 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:3 Unabii wa Danieli, kur. 166-167 Mnara wa Mlinzi,3/15/1988, uku. 26
3 Nilipoinua macho yangu, tazama! kulikuwa na kondoo dume+ aliyesimama mbele ya mfereji huo wa maji, naye alikuwa na pembe mbili.+ Pembe hizo mbili zilikuwa ndefu, lakini moja ilikuwa ndefu kuliko nyingine, na pembe hiyo ndefu ilitokea baadaye.+