Danieli 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nilipoinua macho yangu, ndipo nikaona, na, tazama! kondoo-dume+ amesimama mbele ya huo mfereji, naye alikuwa na pembe mbili. Na hizo pembe mbili zilikuwa ndefu, lakini moja ilikuwa ndefu kuliko ile nyingine, na ile ndefu ndiyo iliyotokea baadaye.+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:3 dp 166-167 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:3 Unabii wa Danieli, kur. 166-167 Mnara wa Mlinzi,3/15/1988, uku. 26
3 Nilipoinua macho yangu, ndipo nikaona, na, tazama! kondoo-dume+ amesimama mbele ya huo mfereji, naye alikuwa na pembe mbili. Na hizo pembe mbili zilikuwa ndefu, lakini moja ilikuwa ndefu kuliko ile nyingine, na ile ndefu ndiyo iliyotokea baadaye.+