Isaya 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama, ninawainua Wamedi dhidi yao,+Ambao hawaioni fedha kuwa kituNa ambao hawapendezwi na dhahabu. Yeremia 51:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake. Danieli 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Na tazama! mnyama mwingine, wa pili, kama dubu.+ Aliinuliwa upande mmoja, na mbavu tatu zilikuwa kinywani mwake kati ya meno yake; naye akaambiwa, ‘Simama, kula nyama nyingi.’+ Danieli 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Yule kondoo dume mwenye pembe mbili uliyemwona anafananisha wafalme wa Umedi na Uajemi.+
17 Tazama, ninawainua Wamedi dhidi yao,+Ambao hawaioni fedha kuwa kituNa ambao hawapendezwi na dhahabu.
11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.
5 “Na tazama! mnyama mwingine, wa pili, kama dubu.+ Aliinuliwa upande mmoja, na mbavu tatu zilikuwa kinywani mwake kati ya meno yake; naye akaambiwa, ‘Simama, kula nyama nyingi.’+