Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tazama, ninawainua Wamedi dhidi yao,+

      Ambao hawaioni fedha kuwa kitu

      Na ambao hawapendezwi na dhahabu.

  • Yeremia 51:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.*

      Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+

      Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni.

      Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.

  • Danieli 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Na tazama! mnyama mwingine, wa pili, kama dubu.+ Aliinuliwa upande mmoja, na mbavu tatu zilikuwa kinywani mwake kati ya meno yake; naye akaambiwa, ‘Simama, kula nyama nyingi.’+

  • Danieli 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Yule kondoo dume mwenye pembe mbili uliyemwona anafananisha wafalme wa Umedi na Uajemi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki