Isaya 13:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama, ninawainua Wamedi dhidi yao,+Ambao hawaioni fedha kuwa kituNa ambao hawapendezwi na dhahabu. 18 Pinde zao zitawavunjavunja vijana;+Hawatausikitikia uzao wa tumboWala kuwahurumia watoto. Danieli 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitakayokwambia sasa ndiyo kweli: “Tazama! Wafalme watatu zaidi watasimama* kwa ajili ya Uajemi, na wa nne atajikusanyia utajiri mwingi zaidi kuliko wengine wote. Na atakapokuwa na nguvu kupitia utajiri wake, atachochea kila kitu dhidi ya ufalme wa Ugiriki.+
17 Tazama, ninawainua Wamedi dhidi yao,+Ambao hawaioni fedha kuwa kituNa ambao hawapendezwi na dhahabu. 18 Pinde zao zitawavunjavunja vijana;+Hawatausikitikia uzao wa tumboWala kuwahurumia watoto.
2 Nitakayokwambia sasa ndiyo kweli: “Tazama! Wafalme watatu zaidi watasimama* kwa ajili ya Uajemi, na wa nne atajikusanyia utajiri mwingi zaidi kuliko wengine wote. Na atakapokuwa na nguvu kupitia utajiri wake, atachochea kila kitu dhidi ya ufalme wa Ugiriki.+