Danieli 2:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Lakini baada yako ufalme mwingine utainuka,+ ulio dhaifu kwako; kisha ufalme mwingine, wa tatu, wa shaba, ambao utaitawala dunia yote.+ Danieli 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “PERESI, ufalme wako umegawanywa wakapewa Wamedi na Waajemi.”+ Danieli 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nilipoinua macho yangu, tazama! kulikuwa na kondoo dume+ aliyesimama mbele ya mfereji huo wa maji, naye alikuwa na pembe mbili.+ Pembe hizo mbili zilikuwa ndefu, lakini moja ilikuwa ndefu kuliko nyingine, na pembe hiyo ndefu ilitokea baadaye.+ Danieli 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Yule kondoo dume mwenye pembe mbili uliyemwona anafananisha wafalme wa Umedi na Uajemi.+
39 “Lakini baada yako ufalme mwingine utainuka,+ ulio dhaifu kwako; kisha ufalme mwingine, wa tatu, wa shaba, ambao utaitawala dunia yote.+
3 Nilipoinua macho yangu, tazama! kulikuwa na kondoo dume+ aliyesimama mbele ya mfereji huo wa maji, naye alikuwa na pembe mbili.+ Pembe hizo mbili zilikuwa ndefu, lakini moja ilikuwa ndefu kuliko nyingine, na pembe hiyo ndefu ilitokea baadaye.+