6 “Kisha nikaendelea kuona, na, tazama! mnyama mwingine, aliye kama chui,+ lakini mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne ya kiumbe kinachoruka. Na mnyama huyo alikuwa na vichwa vinne,+ naye akapewa utawala kwelikweli.
5 Mimi nami nikaendelea kumwangalia sana, na, tazama! kulikuwa na mbuzi-dume+ akija kutoka upande wa magharibi akiwa juu ya uso wa dunia yote, naye hakuwa akigusa nchi. Huyo mbuzi-dume alikuwa na pembe yenye kuonekana wazi kati ya macho yake.+