12 Majani yake yalikuwa mazuri, na matunda yake yalikuwa mengi, na juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote. Chini yake wanyama+ wa mwituni walitafuta kivuli,+ na juu ya matawi yake ndege wa mbinguni walikuwa wakikaa,+ na kila kitu chenye mwili kilikuwa kikila chakula kutokana na mti huo.