6 Na sasa mimi mwenyewe nimezitia nchi hizi zote mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babiloni,+ mtumishi wangu;+ na nimempa hata wanyama wa mwituni ili wamtumikie.+
6 Viumbe vyote vinavyoruka vya mbinguni vilifanya viota+ vyao kwenye matawi yake, na wanyama wote wa mwituni walizaa chini ya matawi yake,+ na mataifa yote yenye hesabu kubwa ya watu yalikuwa yakikaa katika kivuli chake.