23 Kwenye mlima wa kilele cha Israeli nitakipandikiza,+ nacho hakika kitazaa matawi na kutokeza matunda+ na kuwa mwerezi mkubwa.+ Na chini yake hakika watakaa ndege wote wenye mabawa ya kila aina; watakaa katika uvuli wa majani yake.+
21 na majani yake yalikuwa mazuri, na ambao matunda yake yalikuwa mengi, na ambao juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote; ambao chini yake wanyama wa mwituni walikaa, na ambao juu ya matawi yake ndege wa mbinguni walikuwa wakikaa,+