Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana kila mnyama wa mwituni ni wangu,+

      Wanyama walio juu ya milima elfu moja.+

  • Yeremia 28:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Nitatia nira ya chuma juu ya shingo ya mataifa haya yote, ili yamtumikie Nebukadneza mfalme wa Babiloni;+ nao lazima watamtumikia.+ Nami nitampa hata wanyama wa mwituni.”’”+

  • Danieli 2:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 na amekupa mkononi mwako,+ popote pale ambapo wana wa binadamu hukaa, wanyama wa mwituni na viumbe vya mbinguni vyenye mabawa, na amekufanya kuwa mtawala juu ya vyote hivyo. Wewe ndiye kile kichwa cha dhahabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki