24 Mungu akaendelea kusema: “Dunia+ na itokeze nafsi zilizo hai kulingana na aina zake, mnyama wa kufugwa+ na mnyama anayetambaa+ na mnyama-mwitu+ wa dunia kulingana na aina yake.” Ikawa hivyo.
14 “Ingawa hivyo, mimi ni nani,+ na watu wangu ni nani, hata tuwe na nguvu za kutoa matoleo ya hiari hivi?+ Kwa maana kila kitu hutoka kwako,+ nasi tumekupa kutoka katika mkono wako mwenyewe.