11 “Yehova pia atakufanya ufurike kwelikweli kwa ufanisi katika uzao wa tumbo+ lako na uzao wa wanyama wako wa kufugwa na mazao ya udongo wako,+ katika udongo ambao Yehova aliwaapia mababu zako kwamba atakupa wewe.+
6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+