Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 51:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Babiloni amekuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yehova,+ yeye anailewesha dunia yote.+ Mataifa yamekunywa kutokana na divai yake.+ Ndiyo sababu mataifa yanaendelea kutenda kiwazimu.+

  • Danieli 2:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 na amekupa mkononi mwako,+ popote pale ambapo wana wa binadamu hukaa, wanyama wa mwituni na viumbe vya mbinguni vyenye mabawa, na amekufanya kuwa mtawala juu ya vyote hivyo. Wewe ndiye kile kichwa cha dhahabu.+

  • Danieli 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 ni wewe, Ee mfalme,+ kwa sababu wewe umekuwa mkubwa ukapata nguvu, na ukuu wako umekuwa mkubwa na kufika mbinguni,+ na utawala wako umefika mpaka sehemu za mwisho za dunia.+

  • Danieli 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Wa kwanza alikuwa kama simba,+ naye alikuwa na mabawa ya tai.+ Nami nikaendelea kutazama mpaka mabawa yake yakang’olewa, naye akainuliwa juu ya dunia+ na kusimamishwa kwa miguu miwili kama mwanadamu, naye akapewa moyo wa mwanadamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki