Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye akajenga madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu katika Yerusalemu.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye akajenga madhabahu+ katika nyumba ya Yehova, ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Jina langu litakuwa katika Yerusalemu mpaka wakati usio na kipimo.”+

  • Yeremia 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana nabii pamoja na kuhani wametiwa unajisi.+ Pia katika nyumba yangu mwenyewe nimeupata ubaya wao,”+ asema Yehova.

  • Yeremia 32:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nao wakawa wakiweka machukizo yao katika nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake, ili kuitia unajisi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki