2 Wafalme 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye akajenga madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu katika Yerusalemu.”+ 2 Mambo ya Nyakati 33:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye akajenga madhabahu+ katika nyumba ya Yehova, ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Jina langu litakuwa katika Yerusalemu mpaka wakati usio na kipimo.”+ Yeremia 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Kwa maana nabii pamoja na kuhani wametiwa unajisi.+ Pia katika nyumba yangu mwenyewe nimeupata ubaya wao,”+ asema Yehova. Yeremia 32:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nao wakawa wakiweka machukizo yao katika nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake, ili kuitia unajisi.+
4 Naye akajenga madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu katika Yerusalemu.”+
4 Naye akajenga madhabahu+ katika nyumba ya Yehova, ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Jina langu litakuwa katika Yerusalemu mpaka wakati usio na kipimo.”+
11 “Kwa maana nabii pamoja na kuhani wametiwa unajisi.+ Pia katika nyumba yangu mwenyewe nimeupata ubaya wao,”+ asema Yehova.
34 Nao wakawa wakiweka machukizo yao katika nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake, ili kuitia unajisi.+