Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye akajenga madhabahu kwa ajili ya jeshi lote la mbinguni+ katika nyua mbili+ za nyumba ya Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hata wakuu wote wa makuhani+ na watu wenyewe wakatenda kwa ukosefu wa uaminifu kwa kiasi kikubwa, kulingana na machukizo+ yote ya mataifa, hivi kwamba wakaitia unajisi nyumba ya Yehova aliyokuwa ameitakasa katika Yerusalemu.+

  • Yeremia 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Je, nyumba hii ambayo jina langu limeitwa juu yake,+ imekuwa pango tu la wanyang’anyi machoni penu?+ Tazama, mimi mwenyewe pia nimeona jambo hilo,” asema Yehova.+

  • Ezekieli 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na wanaume 70+ wazee wa nyumba ya Israeli, pamoja na Yaazania mwana wa Shafani+ akiwa amesimama kati yao, walikuwa wamesimama mbele ya hiyo, kila mmoja akiwa na chetezo chake mkononi mwake, na manukato ya wingu la uvumba yalikuwa yakipaa.+

  • Ezekieli 23:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nao walipokuwa wamewachinja wana wao kwa ajili ya sanamu zao za mavi+ waliingia ndani ya patakatifu pangu katika siku hiyo ili kupatia unajisi,+ na, tazama! hivyo ndivyo wamefanya katikati ya nyumba yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki