Mathayo 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akawaambia: “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala,’+ lakini ninyi mnaifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+ Marko 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 lakini akaendelea kufundisha na kusema: “Je, haikuandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala+ kwa ajili ya mataifa yote’?+ Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+ Luka 19:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 akiwaambia: “Imeandikwa, ‘Na nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,’+ lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+
13 Naye akawaambia: “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala,’+ lakini ninyi mnaifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+
17 lakini akaendelea kufundisha na kusema: “Je, haikuandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala+ kwa ajili ya mataifa yote’?+ Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+
46 akiwaambia: “Imeandikwa, ‘Na nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,’+ lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+