11 Je, nyumba hii ambayo jina langu limeitwa juu yake,+ imekuwa pango tu la wanyang’anyi machoni penu?+ Tazama, mimi mwenyewe pia nimeona jambo hilo,” asema Yehova.+
17 lakini akaendelea kufundisha na kusema: “Je, haikuandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala+ kwa ajili ya mataifa yote’?+ Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+