Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Je, nyumba hii ambayo jina langu limeitwa juu yake,+ imekuwa pango tu la wanyang’anyi machoni penu?+ Tazama, mimi mwenyewe pia nimeona jambo hilo,” asema Yehova.+

  • Mathayo 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akawaambia: “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala,’+ lakini ninyi mnaifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+

  • Marko 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 lakini akaendelea kufundisha na kusema: “Je, haikuandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala+ kwa ajili ya mataifa yote’?+ Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+

  • Yohana 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa: “Ondoeni vitu hivi kutoka hapa! Acheni kuifanya nyumba+ ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki