Yeremia 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, nyumba hii ambayo jina langu limeitwa juu yake,+ imekuwa pango tu la wanyang’anyi machoni penu?+ Tazama, mimi mwenyewe pia nimeona jambo hilo,” asema Yehova.+ Mathayo 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akawaambia: “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala,’+ lakini ninyi mnaifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+ Luka 19:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 akiwaambia: “Imeandikwa, ‘Na nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,’+ lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+ Yohana 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa: “Ondoeni vitu hivi kutoka hapa! Acheni kuifanya nyumba+ ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara!”+
11 Je, nyumba hii ambayo jina langu limeitwa juu yake,+ imekuwa pango tu la wanyang’anyi machoni penu?+ Tazama, mimi mwenyewe pia nimeona jambo hilo,” asema Yehova.+
13 Naye akawaambia: “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala,’+ lakini ninyi mnaifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+
46 akiwaambia: “Imeandikwa, ‘Na nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,’+ lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+
16 Akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa: “Ondoeni vitu hivi kutoka hapa! Acheni kuifanya nyumba+ ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara!”+