Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hawa pia—kwa sababu ya divai wamepotea na kwa sababu ya kileo wametanga-tanga. Kuhani na nabii+—wamepotea kwa sababu ya kileo, wamevurugika kutokana na divai, wametanga-tanga+ kutokana na kileo; wamepotea katika kuona kwao, wameyumba-yumba kuhusu uamuzi.

  • Yeremia 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+

  • Yeremia 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Kwa maana kuanzia aliye mdogo zaidi kati yao mpaka aliye mkubwa zaidi kati yao, kila mmoja anajipatia pato lisilo la haki;+ na kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa uwongo.+

  • Yeremia 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo nitawapa wanaume wengine wake zao, mashamba yao kwa wale wanaoyamiliki;+ kwa maana, kuanzia aliye mdogo zaidi mpaka aliye mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia pato lisilo la haki;+ kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa uwongo.+

  • Ezekieli 22:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Katikati yake kuna hila ya manabii wake,+ kama simba anayenguruma, anayerarua mawindo.+ Kwa kweli wanairarua nafsi.+ Wanaendelea kuchukua hazina na vitu vyenye thamani.+ Wamewazidisha wajane wake katikati yake.+

  • Sefania 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Manabii wake walikuwa na dharau, walikuwa watu wenye hila.+ Makuhani wake wamekitia unajisi kilicho kitakatifu; waliitendea sheria jeuri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki