31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+
13 “Kwa maana kuanzia aliye mdogo zaidi kati yao mpaka aliye mkubwa zaidi kati yao, kila mmoja anajipatia pato lisilo la haki;+ na kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa uwongo.+
9 Na kama ilivyo katika kumvizia mtu,+ ushirika wa makuhani ni vikundi vyenye kupora.+ Wao hufanya mauaji katika Shekemu+ kando ya njia, kwa sababu wameendeleza mwenendo mpotovu.+