Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi wana wa Eli walikuwa watu wasiofaa kitu;+ hawakumtambua Yehova.+

  • Ezekieli 22:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Makuhani wake wenyewe wameitendea jeuri sheria yangu,+ nao wanaendelea kutia unajisi mahali pangu patakatifu.+ Hawatofautishi kati ya kitu kitakatifu na cha kawaida,+ nao hawajafanya chochote kijulikane kati ya kitu kisicho safi na kilicho safi,+ nao wameyaficha macho+ yao yasione sabato zangu, nami ninatiwa unajisi katikati yao.+

  • Mika 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Tafadhali sikieni hili, ninyi vichwa vya nyumba ya Yakobo nanyi viongozi wa nyumba ya Israeli,+ mnaochukia haki na mnaopotoa hata kila kitu ambacho kimenyooka;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki